Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais wa Benki ya Exim ya China Liu Liang katika Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Benki ya Exim ya China Liu Liang wa kwanza kulia katika Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma. Wakwanza kushoto ni Balozi wa China hapa nchini Lu Youqing.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha pamoja na ujumbe wa Rais wa Benki ya Exim ya China Liu Liang katika Ikulu ndogo ya Chamwino mkoani Dodoma.
PICHA NA IKULU.
Safi sana. Ikiwezekana ujenzi uanze hata kesho..tumeisha chelewa.
ReplyDeleteI WISH IWE NI 'DOUBLE LINE' KUKAKATA MZIZI WA FITINA MOJA KWA MOJA. HATA HIVYO 'SINGLE LINE' KWA STANDARD GAUGE NI ZAIDI YA SHEREHE/FURAHA KWA UCHUMI WA TANZANIA NA MAJIRANI ZAKE.
ReplyDelete