Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Oliva Joseph Mhaiki kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Winfrida Gaspa Rutaindurwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Oliva Joseph Mhaiki (kushoto) pamoja na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Winfrida Gaspa Rutaindurwa (kulia) mara baada ya kuwaapisha ) katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Hongera na pongezi za dhati Bw. O. J. MHAIKI (Mkuu wangu wa Chuo Kigurunyembe miaka hiyo). Jongera sana kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa tume ya utumishi wa walimu, kwa kweli unastahili kabisa wadhifa huo, khususan kwa ari, juhudi, jitahada, uvumilivu, moyo wa kuchapa kazi na utendaji wako wa kazi kwa jumla. Mola azidi kukujaalia kila la kheri na mafanikio mema katika kulitumikia Taifa letu.
ReplyDelete