Rais wa Zanzibar, Dkt. Ally Mohamed Shein akizungumza katika siku ya kumbukumbu ya Mashujaa waliopigana vita ambayo hufanyika Julai 25 kila mwaka ikiwa kwa mwaka huu yanafanyika mjini Dodoma.
Sherehe za kumbukumbu ya siku ya mashujaa zinaendelea mjini Dodoma asubuhi hii mjini Dodoma.
Sherehe za kumbukumbu ya siku ya mashujaa zinaendelea mjini Dodoma asubuhi hii mjini Dodoma.
Taswira mbalimbali mjini Dodoma asubuhi hii ikiwa ni siku ya kuwakumbuka mshujaa waliopigana vita hapa nchini, ambapo kumbukumbu hii hufanyika Julai 25 kila mwaka.
BOFYA HAPA KUONA LIVE
BOFYA HAPA KUONA LIVE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...