Rais wa Zanzibar, Dkt. Ally Mohamed Shein akizungumza katika siku ya kumbukumbu ya Mashujaa waliopigana vita ambayo hufanyika Julai 25 kila mwaka ikiwa kwa mwaka huu yanafanyika mjini Dodoma.
Baadhi ya viongozi mbalimbali wakiwa katika sherehe ya siku ya mashujaa mjini Dodoma leo.
Sherehe za kumbukumbu ya siku ya mashujaa zinaendelea mjini Dodoma asubuhi hii mjini Dodoma.


 Taswira mbalimbali mjini Dodoma asubuhi hii ikiwa ni siku ya kuwakumbuka mshujaa waliopigana vita hapa nchini, ambapo kumbukumbu hii hufanyika Julai 25 kila mwaka.

BOFYA HAPA KUONA LIVE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...