Waziri wa Nchi Ofisi ya Raid TAMISEMI George Simbachawene akikagua jengo la darasa la while ya msingi Luegu wilaya ya Namtumbo baada ya kupata maafa mwaka uliopita.Waziri ametoa agizo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kutoa fedha shilingi milioni 10 kwa ajili ya Ujenzi wa vyoo vya kudumu vya wanafunzi ndani ya mwezi mmoja.
Wananchi wa kijiji cha Lundusi Peramiho wakiwa kwenye mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI George Simbachawene(hayupo pichani) wakati wa ziara yake Mkoani Ruvuma leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...