Waziri wa Nchi Ofisi ya Raid TAMISEMI George Simbachawene akikagua jengo la darasa la while ya msingi Luegu wilaya ya Namtumbo baada ya kupata maafa mwaka uliopita.Waziri ametoa agizo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kutoa fedha  shilingi milioni 10 kwa ajili ya Ujenzi wa vyoo vya kudumu vya wanafunzi ndani ya mwezi mmoja.
Wananchi wa kijiji cha Lundusi Peramiho wakiwa kwenye mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri wa Nchi Ofisi  ya Rais  TAMISEMI George Simbachawene(hayupo pichani) wakati wa ziara yake  Mkoani Ruvuma leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...