Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (watatu kushoto) akibofya kitufe cha kompyuta kuashiria uzinduzi wa huduma mpya ya kampuni ya Vodacom Tanzania, inayowezesha wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME’s) kupata huduma mbalimbali za bei nafuu za mawasiliano zilizounganishwa pamoja katika kurahisisha biashara ikiwemo huduma za data, huduma za kifedha kwa njia ya mtandao wa simu, simu za ofisini na huduma nyinginezo za mifumo ya usalama wa vifaa vya ofisi, akishuhudiwa na Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao(kulia) Afisa Mkuu wa Idara ya Uendelezaji wa biashara kimtandao wa kampuni hiyo,Gregory Bond(wapili kushoto) na Mkuu wa kitengo cha wafanyabiashara wadogo na wakati wa kampuni hiyo,Aileena Meena. Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage,akizungumza na wageni waalikwa katika uzinduzi wa huduma mpya ya Vodacom Tanzania inayowezesha wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME’s) kupata huduma mbalimbali za bei nafuu za mawasiliano zilizounganishwa pamoja katika kurahisisha biashara ikiwemo huduma za data ,huduma za kifedha kwa njia ya mtandao wa simu,simu za ofisini na huduma nyinginezo za mifumo ya usalama wa vifaa vya ofisi,Hafla hiyo amefanyika jijini Dar es Salaam leo.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage (katikati)akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao (kulia) Afisa Mkuu wa Idara ya Uendelezaji wa biashara kimtandao wa kampuni hiyo,Gregory Bond (kushoto) baada ya kuzindua huduma mpya ya Vodacom Tanzania inayowezesha wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME’s) kupata huduma mbalimbali za bei nafuu za mawasiliano zilizounganishwa pamoja katika kurahisisha biashara ikiwemo huduma za data ,huduma za kifedha kwa njia ya mtandao wa simu,simu za ofisini na huduma nyinginezo za mifumo ya usalama wa vifaa vya ofisi.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Slaam leo.
Baadhi ya wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME’s)wakimsikiliza kwa umakini Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage(hayupo pichani)alipokuwa akizindua huduma mpya ya Vodacom Tanzania inayowezesha wafanyabiashara wadogo na wa kati (SME’s) kupata huduma mbalimbali za bei nafuu za mawasiliano zilizounganishwa pamoja katika kurahisisha biashara ikiwemo huduma za data ,huduma za kifedha kwa njia ya mtandao wa simu,simu za ofisini na huduma nyinginezo za mifumo ya usalama wa vifaa vya ofisi.Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Slaam leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...