Bw. Harusi Abraham Mossi na Mkewe Bi. Rachel Kissui wakiingia Kanisani tayari kwa Ibada ya Ndoa yao iliyofungwa katika Kanisa la Katoriki la Mtakatibu Isidori Bakanja, Parokia ya Boko Jijini Dar es salaam, mwishoni mwa wiki.
Maharusi wakiwaongoza ndugu na jamaa waliofika kushuhudia ndoa yao, kuongia kanisani.
Tabasamu la nguvu baada ya kumamilisha tendo muhimu katika maisha.
Bw. Harusi Abraham Mossi akimwaga wino, kwa muongozo wa Padri humu mamsapu wake akimshuhudia.
Bi. Harusi Rachel Kissui akimwaga wino pia.
"Unajua nini My Wife wangu, leo ni bonge la siku kwetu".
Maharusi na Familia zao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...