Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kushoto akibadilishana mawazo na Uongozi Mpya wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) ulioambatana na Uongozi wa Gazeti la Zanzibar Leo mazungumzo yaliyofanyika Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) Dr. JimYonazi wa Tatu kutoka Kushoto akifafanua jambo wakati Ujumbe wake ulipofanya mazungumzo na Balozi Seif.
Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Zanzibar leo Nd. Yussuf Khamis wa kwanza Kutoka kushoto akimsikiliza kwa Makini Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif hayupo pichani wakati wa mazungumzo yao.
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) Dr. JimYonazi wa kwanza kutoka kulia akifuatilia mazungumzo ya Uongozi wake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Picha na – OMPR – ZNZ. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...