SEHEMU ya
tatu ya Wanafunzi 220 waliochaguliwa kusoma kwa Scholarship nje ya Nchi chini
ya udhamini wa Universities Abroad wameondoka kwenda Nchini China na Uingereza.
Wanafunzi
hao 35 wengi wao wakiwa kwenye fani ya Udaktari, Uhandisi na Biashara za Kimataifa
watalipa ada ya mwaka mmoja tu wa kozi na wengine wakigharamia asilimia 50 ya
gharama zote.
Taasisi ya
UAL inaendelea na udahili kwa wanafunzi watakaokwenda Novemba na Februari 2017
katika ofisi zao zilizopo Posta Mpya jengo la Benjamini Mkapa Tower na
Ofisi ya Kanda- Mwanza, Kenyatta Road na Exim Bank Ghorofa ya pili.
Wanafunzi waliopata ufadhili wa Universities Abroad Link wakiwa katika picha ya pamoja na wazazi, walezi wao wakati wa kuwaaga Uwanja wa Ndege.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Universities Abroad Link, Tony Kabetha akizungumza na waandishi wa habari kwenye uwanja wa Ndegewa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam wakati wa kuwaaga wanafunzi 220 waliopata udhamini wa masomo kutoka Universities Abroad Link. (Picha na Francis Dande).
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...