Mtu mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, akiwa amebebwa na wasamalia wema na kupandishwa kwenye Bajaj, mara baada ya kupata ajali iliyohusisha pia magari manne asubuhi ya leo katika Barabara ya Mandela, eneo la Tabata jijini Dar es salaam. Chanzo cha ajali hiyo inadaiwa kuwa ni moja ya gari lililokuwa mbele kusimama ghafla kufuatia mtu huyo aliyekuwa akivuka barabara.
Mashuhuda pamoja na Askari Polisi wakimsikiliza majeruhi huyo (aliekuwa amelala chini kando ya barabara) baada ya kupata ajali hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...