Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Clifford Tandari akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini China, Balozi Mbelwa Kairuki wakati alipokwenda kumtembelea ofisini kwake, leo Januari 31, 2017 ambapo walifanya Mkutano wao wa kuhakikisha Uwekezaji zaidi wa makampuni kutoka China haswa katika ujenzi wa Viwanda unakuzwa ili kuendana na Agenda kuu ya awamu ya Tano ya Uwekezaji katika viwanda ili kuongeza ajira na kupanua wigo wa kodi. Kituo cha Uwekezaji kiliahidi kutoa ushirikiano kwa balozi huyo ili kuhakikisha kuwa juhudi zetu za kuitangaza Tanzania kwa Wawekezaji wa nchini China zinafikiwa kwa haraka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...