Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kulia akipokewa na Rais wa Jumuiya ya Ismailia Tanzania Bwana Amin Lakhani kwenye Maulidi ya Uzawa wa Mtume Mhammad (SAW) yaliyoandaliwa na Jumuiya hiyo hapo Upanga Mjini Dar es salaam. Kati kati yao ni Mwakilishi wa Agakhan upande wa Zanzibar Bwana Mohame Bhaloo.
 Mkurugenzi wa masuala ya Taaluma na Dini ya Kiislamu na Historia wa Jumuiya ya Isimailia Tanzania Dr. Amin Rehmani akichambua masuala mbali mbali ya Dini ya Kiislamu kwenye muhadhara huo wa Maulidi. 
  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akihutubia kwenye hafla ya Maulid ya Uzawa wa Mtume Muhammad (SAW) ya Jumuiya ya Ismailia Jijini Dar es salaam.
 Baadhi ya Waumini wa Dini ya Kiislamu waliohudhuria Maulidi ya Uzawa Mtume Muhammad (SAW)  yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Ismailia Upanga Mjini Da es salaam.
 Sheikh wa Jumuiya ya Darkhana Jamat Alfaran Dewji akisoma fatha ya kufunga hafla ya Maulidi ya Uzawa wa Mtume Muhammad (SAW) ya Jumuiya hiyo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...