Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha katika ukumbi wa mazungumzo Balozi wa China hapa nchini Mhe. Dkt. Lu Youqing alipowasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo .
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Dkt. Lu Youqing Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam, leo .
Shukrani kwa taarifa ila kuna makosa kwenye uandishi, Balozi wa China nchini anaitwa Lu Youqing na sio Lu Young
ReplyDelete