Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiongoza
msafara wa ujumbe wa Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bwana Erik
Solheim walipotembelea dampo la taka la Pugu Kinyamwezi jijini Dar Es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akifanunua
jambo kwa Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bwana Erik Solheim mbele
ya Waandishi wa Habari wakati wa ziara ya kutembelea dampo la Pugu Kinyamwezi wakati wa ziara ya
Mkurugenzi huyo hapa Nchini.
Meneja wa Dampo la Pugu Kinyamwezi Bwana Richard Kishera akitoa maelezo kwa Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba pamoja na Mkurugenzi wa Shirika
la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bwana Erik Solheim, jinsi ya uendeshaji wa dampo hilo najinsi
ya utunzaji wa taka unavyofanyika katika eneo hilo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akimuelezea
juu ya uzalishaji wa mkaa Mkurugenzi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bwana Erik
Solheim na Ujumbe wake walipotembelea kituo cha uuzaji wa mkaa eneo la Ubungo jijini Dar Es Salaam.
Sehemu ya taka zinazotupwa katika eneo la utupaji taka la Pugu Kinyamwezi zikiwa zimerundikwa na
Wananchi wakiendelea na shuhuli zao za kila siku za ukusaji wa chupa pamoja na ghafi taka nyingine
zilizobaki kwenye takataka.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...