Waziri wa Nishati na Madini Pofesa Sospeter Muhongo akiongea na Waandishi wa Habari Baada ya Mkutano wa East African Power Pool Uliofanyika Jijini Arusha. Mkutano huo ulihudhuriwa na nchi wanachama 11 (Tanzania, Kenya, Uganda, Ethiopia, Misri, Sudan, Rwanda, Burundi, DRC, Somalia na Elitrea), Lengo la mkutano huo likiwa kuandaa mpango kazi na Bajeti ya Kuendeleza miradi ya umeme katika nchi wanachama
Home
Unlabelled
Mkutano wa East African Power Pool wafanyika Jijini Arusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...