Waziri wa Nishati na Madini Pofesa Sospeter Muhongo akiongea na Waandishi wa Habari Baada ya Mkutano wa East African Power Pool Uliofanyika Jijini Arusha. Mkutano huo ulihudhuriwa na nchi wanachama 11  (Tanzania, Kenya, Uganda, Ethiopia, Misri, Sudan, Rwanda, Burundi, DRC, Somalia na Elitrea),  Lengo la mkutano huo likiwa  kuandaa mpango kazi na Bajeti ya Kuendeleza miradi ya umeme katika nchi wanachama

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...