SIMU.TV: Baadhi ya wafugaji wilayani Mvomero mkoani Morogoro wamelalamikia vitendo vya kukamatwa kwa mifugo yao pindi wanapo wapeleka kunywa maji mtoni kwa madai kuwa wanaharibu vyanzo vya maji. https://youtu.be/R4dlr1Rio5I
SIMU.TV: Chama cha mapinduzi CCM kimeibuka na ushindi katika kata ya Kiwanja cha ndege manispaa ya Morogoro katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana. https://youtu.be/ApFoRgpx2eU
SIMU.TV: Wananchi wa vijiji vya Mwabagimu na Bukumbi wilayani Meatu wamelalamikia kitendo cha kampuni ya udalali kubomoa nyumba 15 za familia 4 kufuatia amria ya mahakama kutoa mari ya kubomolewa. https://youtu.be/ZE8PCf1oO8A
SIMU.TV: Tanzania na Uturuki leo zimetiliana saini mikataba tisa ya ushirikiano wa kibiashara na uchumi huku Uturuki ikieleza nia ya kukuza biashara zaidi baina yake na Tanzania. https://youtu.be/semJhuuviEo
SIMU.TV: Kituo cha utengamano wa watu wenye ulemavu wilayani Monduli mkoani Arusha kinachotengeneza viungo bandia kwa watu wenye ulemavu kimeeleza kukabiliwa na changamoto ya ukosefu wa malighafi. https://youtu.be/z_B2puPH1ik
SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa uongozi wa mkoa wa Njombe kutembelea viwanda vya chai vilivyopo mkoani humo ili kubaini changamoto inayowakabili wawekezaji hao. https://youtu.be/BetrWfUGG94
SIMU.TV: Tawi la tatu la Benki ya Maendeleo inayomilikiwa na kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania KKKT limezinduliwa katika mtaa wa Kariakoo jijini Dar es Salaam. https://youtu.be/5csnwgx_vHU
SIMU.TV: Zaidi ya wadau 300 wa kilimo wanakutana ili kujadili namna ya kuongeza thamani ya mazao ya kilimo na kumuinua mkulima. https://youtu.be/ztk_eFZz4ds
SIMU.TV: Klabu ya soka ya Ndanda Fc imelitaka shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF kushughulikia malalamiko yao dhidi ya timu ya Simba na Mbeya city kuhusu kuwachezesha wachezaji ambao hawana leseni za kucheza nchini. https://youtu.be/YclHQZhaSnI
SIMU.TV: Droo ya kwanza ya shinda nyumba inayoongozwa na kampuni ya Global publishers kupitia magazeti ya Champion, Ijumaa na Uwazi inatarajiwa kuchezeshwa tarehe 8 mwenzi wa pili mwaka huu. https://youtu.be/Zc8as7q58ZU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...