Mmoja wa wageni kutoka nchini Uturuki akiulizia bei ya vifaa vya mapambo ya bahari kwa mchuuzi wa samaki katika soko la Kimataifa la Samaki, feri jijini Dar leo.
Kundi la Wafanyabishara na wanahabri wakiwasili katika soko la Samaki Feri .
wauza Samaki wakiwa katika mnda wa Samaki katika eno la mauzo sokoni hapo.
Boti ya uvuvi ikiwasili katika soko la Samaki Feri kwa ajili ya kupakua Samaki 
Mchuuzi wa Samaki wa soko la Samaki feri akimkata kata samaki aina ya Songoro kwa ajili ya kupeleka mtaani kuuzwa.
Wafanyabiashara wa Samaki wa soko la Samaki Feri wakipara Samaki 
Baadhi ya wageni kutoka nchini Uturuki wakila Samaki aina ya Pweza katika Soko la Samaki feri walipozuru katika soko hilo kabla ya kwenda kwenye hafla iliyofanyika viwanja vya Ikulu-Magogoni,jijini Dar leo.
Baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchini Utruki wakipiga picha sehemu ya maandhari ya soko la Samaki Feri kabla ya kuingia katika mkutano na Rais Dkt John Pombe Magufuli,Ikulu jijini Dar.
Mmoja ya Mwandishi wa habari kutoka nchini Uturuki akiuliza maswali kwa muuzaji wa Samaki wa soko la Samaki feri jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...