Mmoja wa wageni kutoka nchini Uturuki akiulizia bei ya vifaa vya mapambo ya bahari kwa mchuuzi wa samaki katika soko la Kimataifa la Samaki, feri jijini Dar leo.
Kundi la Wafanyabishara na wanahabri wakiwasili katika soko la Samaki Feri .
wauza Samaki wakiwa katika mnda wa Samaki katika eno la mauzo sokoni hapo.
Boti ya uvuvi ikiwasili katika soko la Samaki Feri kwa ajili ya kupakua Samaki
Mchuuzi wa Samaki wa soko la Samaki feri akimkata kata samaki aina ya Songoro kwa ajili ya kupeleka mtaani kuuzwa.
Wafanyabiashara wa Samaki wa soko la Samaki Feri wakipara Samaki
Baadhi ya wageni kutoka nchini Uturuki wakila Samaki aina ya Pweza katika Soko la Samaki feri walipozuru katika soko hilo kabla ya kwenda kwenye hafla iliyofanyika viwanja vya Ikulu-Magogoni,jijini Dar leo.
Baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchini Utruki wakipiga picha sehemu ya maandhari ya soko la Samaki Feri kabla ya kuingia katika mkutano na Rais Dkt John Pombe Magufuli,Ikulu jijini Dar.
Mmoja ya Mwandishi wa habari kutoka nchini Uturuki akiuliza maswali kwa muuzaji wa Samaki wa soko la Samaki feri jijini Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...