Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (wapili kulia) wakiagana na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na wake zake, Mama Zakia Biala (wapili kushoto) na Asha Bilal (watatu kulia) wakati walipowatembelea nyumbani kwao eneo la Mbweni, Zanzibar Januari 10, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (watatu kushoto) wakizungumza na Makamu wa Rais Mstafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na wake zake, Mama Zakia Biala (kushoto) na Mama Asha Bilal wakati walipowatembelea nyumbani kwao eneo la Mbweni, Zanzibar Januari 10, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kilimani, Zanzibar Januari 10, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour wakati walipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kilimani, Zanzibar Januari 10, 2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...