Timu ya Maji Maji ya Songea (WANALIZOMBE) wameshindwa kuutumia uwanja wake wa nyumbani baada ya kufungwa bao moja na YANGA katika mchezo uliochezwa uwanja wa MAJI MAJI mjini SONGEA mkoani RUVUMA, Hapa tumekusogezea goli la YANGA pamoja na mahojiano na makocha wa timu zote mbili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...