Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Iwawa wilayani Makete wakimwimbia Waziri mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipokwenda shuleni hapo kufungua madarasa yao Januari 21, 2017.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka wakiwa wameketi kwenye madawati ya moja kati ya madarasa mawili mapya yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu katika shule ya sekondari ya Iwawa iliyopo Makete Januari 21, 2017. Katikati ni Mbunge wa Makete, Norman Sigala., (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...