Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Clifford Tandari akizungumza wakati wa mkutano wake na ujumbe wa baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani, waliotembelea Kituo hicho ili kuona fursa mbalimbali za uwekezaji hapa nchini.
Sehemu ya ujumbe wa wafanyabiasha kutoka nchini Ujerumani, ukiwa katika Mkutano na uongozi wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kuzungumzia fursa mbalimbali za uwekezaji nchini.
Kaimu Mkurugenzi wa Kukuza Uwekezaji wa TIC, Zacharia Kingu akizielezea fursa mbalimbali za uwekezaji zinazopatikana hapa nchini wakati wa Mkutano na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani, waliotembelea Kituo hicho ili kuona fursa mbalimbali za uwekezaji hapa nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...