Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akizungumza  na watumishi,watoto yatima katika Makao ya Taifa ya Watoto yatima  Kurasini  katika ziara ya kutembelea miradi mbalimbali  jijini Dar es Salaaam.
   Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akitembezwa viunga vya Makao ya Taifa ya Watoto yatima Kurasini  jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akipanda mti katika Makao ya Taifa ya Watoto Yatima  Kurasini  jijini Dar es Salaam.
 Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akiwakatika picha ya pamoja katika  Makao ya Taifa ya Watoto Yatima Kurasini  jijini Dar es Salaam.
  Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem akitembezwa viunga vya Makao ya Taifa ya Watoto Yatima  Kurasini  jijini Dar es Salaam.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...