Naibu
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh Angelina Mabulla
Akifafanua namna Fomu ya Umiliki Ardhi
inavyo tumika ili kupata taarifa za awali za Mwananchi anaye andaliwa Hati ya
Kumiliki Ardhi mbele ya Wajumbe wa kamati ya Bunge Ardhi Maliasili na Mazingira
na Wananchikatika kijiji cha Mikoleko
Wilaya ya Kilombero- Morogoro
Mratibu wa Mradi wa Kuwezesha
Umilikishaji wa Ardhi Godfrey Machabe akisoma Ripoti ya
maendeleo ya mradi huo mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi Maliasili
na Mazingira wakati wa ukaguzi wa maendeleo ya
Mradi huo Wilayani Kilombero-Morogoro
Mwenyekiti
wa kijiji cha Mikoleko Wilaya ya kilombero akielezea ushiriki wa Wanakijiji
katika zoezi la kumilikisha ardhi ndani ya kijiji hicho Mbele ya Wajumbe wa
kamati ya Bunge Ardhi, Maliasili na Mazingira.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...