Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa Norman Sigara ‘King’ (katikati) akijadiliana jambo na mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo wakati walipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara za juu (TAZARA Flyover), Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani (Wa tatu kushoto) akifafanua jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara za juu (TAZARA Flyover), Jijini Dar es Salaam.
Mhandisi msimamizi wa ujenzi wa barabara za juu (Tazara Flyover), Eng. Kiyokazu Tsuji (katikati), akitoa maelezo ya ujenzi wa barabara za juu (TAZARA Flyover) kwa kamati ya kudumu ya Miundombinu wakati kamati hiyo ilipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi huo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani na Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa Norman Sigala ‘King’.
Mhandisi msimamizi wa ujenzi wa barabara za juu (Tazara Flyover), Eng. Kiyokazu Tsuji (katikati) akitoa maelezo ya ujenzi wa barabara za juu (TAZARA Flyover), kwa kamati ya kudumu ya Miundombinu wakati kamati hiyo ilipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi huo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani na Kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Miundombinu Profesa Norman Sigala King.
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa, Norman Sigara “King” (Kushoto), akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani (katikati), wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa barabara za juu (TAZARA Flyover), Jijini Dar es salaam.

Picha na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...