Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Omary Mziya akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mpango wa Uwezeshaji Masoko, Mtaji na Hifadhi ya Jamii katika Hafla ya ufunguzi iliyofanyika mkoani Manyara.

Meneja wa NSSF Mkoa wa Manyara, Alexander Joseph akizungumza wakati wa Semina ya Uwezaeshaji Masomo, Mtaji na Hifadhi ya Jamii mkoani Manyara Wilaya ya Mbulu. Kushoto ni Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma na kulia ni Meneja wa Kanda wa Bodi ya Nataka na Mazao Mchanganyiko (CPB).

Meneja wa NSSF Mkoa wa Dodoma, Rehema Chuma, akizungumza katika Semina ya Uwezaeshaji Masomo, Mtaji na Hifadhi ya Jamii iliyofanyika Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara.

Semina ikiendelea.

Picha ya pamoja mkoani Manyara Wilaya ya Babati.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...