WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amezialika benki nchini kushiriki katika kutoa mikopo ya riba nafuu katika miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano ikiwamo katika sekta za miundombinu.
Profesa Mbarawa alisema hayo juzi usiku wakati alipokuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 100 ya shughuli za Benki ya Standard Chartered nchini, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wa juu wa benki hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini.
Waziri huyo alisema Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli, pamoja na mambo mengine, imechukua hatua kadhaa katika kuhakikisha Taifa linapiga hatua kiuchumi ikiwamo kuimarisha miundombinu, kupambana na rushwa na kuongeza ufanisi katika serikali.
Alisema Tanzania ni nchi ya 11 ambayo uchumi wake unakua kwa kasi kwa mujibu kwa takwimu za 2015 (unakua kwa asilimia saba) na kwa Afrika, ni ya sita kwa nchi ambazo uchumi wake wa viwanda unakua kwa kasi.
Profesa Mbarawa alisema hayo juzi usiku wakati alipokuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 100 ya shughuli za Benki ya Standard Chartered nchini, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wa juu wa benki hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini.
Waziri huyo alisema Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli, pamoja na mambo mengine, imechukua hatua kadhaa katika kuhakikisha Taifa linapiga hatua kiuchumi ikiwamo kuimarisha miundombinu, kupambana na rushwa na kuongeza ufanisi katika serikali.
Alisema Tanzania ni nchi ya 11 ambayo uchumi wake unakua kwa kasi kwa mujibu kwa takwimu za 2015 (unakua kwa asilimia saba) na kwa Afrika, ni ya sita kwa nchi ambazo uchumi wake wa viwanda unakua kwa kasi.
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akizungumza katika maadhimisho ya miaka 100 ya shughuli za Benki ya Standard Chartered nchini, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wa juu wa benki hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini.
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (pichani kushoto) akishiriki hafla ya maadhimisho ya miaka 100 ya shughuli za Benki ya Standard Chartered nchini, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi wa juu wa benki hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini.
Baadhi ya viongozi wa juu wa benki Standard Chartered nchini kutoka sehemu mbalimbali Duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini wakifuatilia yaliyokijiri ukumbini humo.
Baadhi ya viongozi wa juu wa benki Standard Chartered nchini kutoka sehemu mbalimbali Duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini wakifuatilia yaliyokijiri ukumbini humo.
Wageni waalikwa mbalimbali
Baadhi ya viongozi wa juu wa benki Standard Chartered nchini kutoka sehemu mbalimbali Duniani pamoja na wateja wakiwamo wafanyabiashara wakubwa nchini wakifuatilia yaliyokijiri ukumbini humo.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...