Mkurugenzi
wa Masoko wa Airtel, Isaack Nchunda (kulia), akitoa elimu kuhusu ofa
mpya ya Hatupimi Bando kwa wafanyabiashara katika Soko la
Tandale, wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea maeneo mbalimbali
jijini Dar es Salaam jana, kuitambulisha huduma hiyo.
Mkurugenzi
wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya akitoa elimu kuhusu
ofa mpya ya Hatupimi Bando kwa Mfanyabiashara katika Soko
la Shekilango Ubungo, Godwin Rwekubya, wakati wafanyakazi wa Airtel
walipotembelea maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana,
kuitambulisha huduma hiyo.
Meneja
Mauzo wa Airtel Kanda ya Dar es Salaam, Robert Sanyagi (kushoto),
akitoa elimu kuhusu ofa mpya ya Hatupimi Bando kwa wafanyabiashara
katika Soko la Tandale, wakati wafanyakazi wa Airtel walipotembelea
maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam jana, kuitambulisha huduma hiyo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Airtel wakitembea kwa pamoja kuipeleka ofa ya Hatupimi Bando kwa wateja sokoni
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...