Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akitoa taarifa ya shirika hilo kwa kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali wakati kamati hiyo ilipotembelea miradi ya shirika hilo iliyopo jijini Dar es salaam, Kamati hiyo imesifu kazi zinazofanywa na shirika hilo kutokana na kuendeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa majengo ya kuuza na kupangisha.
Wajumbe wa Kamti ya Bunge ya Hesabu za Serikali wakitembelea mradi wa 711 unaotekelezwa na shirika hilo uliopo Kawe
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali ilipotembelea kwenye miradi hiyo.
Mwenyekiti wa Kamti ya Bunge ya Hesabu za serikali Mh. Haji Mponda akiuliza swali kwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu wakati wajumbe wa kamati hiyo walipotembelea katika miradi ya shirika hilo jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...