Waziri
wa Nishati na Madini Prof. Muhongo akizinduzia Mradi wa umeme Vijijini
Mkoa wa Singida. Uzinduzi huo umefanyika jana Machi 24/2017 na
kuhudhuriwa na wafadhili kutoka WB, EU, Norway na Denmark ambao
wwnafadhili mradi mkubwa wa Backbone unaoanzia Iringa- Dodoma-Singida
hadi Shinyanga. Mradi huo wa REA III unatekelezwa kuziba mapengo ya
maeneo vijiji ambavyo vimepitiwa na mradi mkubwa wa Backbone na
vilirukwa katika Awamu ya REA II.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...