Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Daniel Kidega (wa pili kulia) akipokea zawadi ya picha kutoka kwa Mabalozi wa vijana wanaoiwakilisha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, waliomtembelea ofisini kwake kumuaga, baada ya kumaliza muda wake wa ukongozi katika Bunge la Afrika Mashariki unaofikia ukomo wiki ijayo. Kutoka kushoto ni Reginald saria, Kamala Dickson, Suzane Mollel pamoja na Evas.
Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Daniel Kidega (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi wa vijana wanaoiwakilisha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, waliombelea ofisini kwake kumuaga, baada ya kumaliza muda wake wa ukongozi katika Bunge la Afrika Mashariki. Kutoka kushoto ni Reginald Saria, Kamala Dickson, Suzane Mollel pamoja na Evas.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...