Mbunge wa Jimbo la
Lushoto Mkoani Tanga (CCM) Shabani Shekilindi
alimaarufu Bosnia katika akizungumza na wakulima wa mbogamboga kwenye
Jimbo lake hivi karibuni ambao bidhaa zao ziliharibika kutokana
na miundombinu ya
barabara ya Mombo hadi Lushoto kudondokewa na vifusi na mawe kabla ya
kuondolewa na wakala wa barabara mkoani Tanga (Tana Road ) ambapo
aliwapa pole wakulima na kuwataka kuongeza uzalishaji
Kushoto ni mmoja wafanyabiashara
wakimuelezea Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi
alimaarufu Bosnia hasara walizozipata kutokana na ubovu wa miundombinu
Baadhi ya bidhaa za
mbogamboga ambazo zimeharibika kama zinavyoonekana
Mbunge wa Jimbo la Lushoto(CCM)
Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia kulia akiwa na mfanyabiashara mara
baada ya kuangalia namna alivyopata hasara kutokana na ubovu wa
miundombinu ambapo pia alitumia nafasi hiyo kuwapa pole
Mbunge wa Jimbo la Lushoto(CCM)
Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia katika akiwa na wananchji wa Jimbo
hilo wakati alipowatembelea hivi karibuni kuona athari za mafuriko
kushoto ni Katibu wa CCM wilaya ya Lushoto Ramadhani
Mahanyu.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...