Makamu
Mwenyekiti wa CCM-Bara Phili Mangula akikmkaribisha Mkurugenzi wa
Tasisi ya Kimarekani inayoshughulikia masuala ya Demokrasia Duniani
(NDI), Kanda ya Mashariki na Kusini Mwa Afrika, Dk. Keith Jennings, kwa
ajili ya mazungumzo, Ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,
Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na
Uhusiano wa Kimataifa, Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
Home
SIASA
MANGULA AKUTANA NA MKURUGENZI WA TAASISI YA KIMAREKANI INAYOSHUGHULIKIA MASUALA YA DEMOKRASIA DUNIANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...