Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa akiwasili chuo cha cha Bahari Dar es Salaam(DMI) kuzindua bodi ya Ushauri ya Chuo hicho kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Dk. Erick Massami na kulia ni Mwenyekiti wa wa Bodi hiyo Nahodha Ernest Mihayo Bupamba Uzinduzi huo ulifanyika jana Chuoni hapo Jijini Dar es Salaam 
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa akizungumza wakati akizindua bodi ya Ushauri ya Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kushoto Mwenyekiti wa wa Bodi hiyo Nahodha Ernest Mihayo Bupamba na kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Dk. Erick Massami.Uzinduzi huo ulifanyika jana Chuoni hapo Jijini Dar es Salaam.
Dk. Tumaini Gurumo, Naibu Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) Mipango, Fedha na Utawala akitoa ufafanuzi wa jambo kwa Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa (kushoto) jana wakati Waziri huyo akizindua bodi ya Ushauri ya Chuo hicho wa pili kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Dk. Erick Massami na wa tatu kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma,Utafiti na Ushauri.
Mhasibu Mkuu wa Chuo Cha Bahari Dar es Salaam(DMI) Haika Kessy akijitambulisha kwa Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa wakati Waziri huyo kuzindua bodi ya Ushauri ya Chuo hicho wengine pichani Maofisa wa Chuo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...