Sheikh Shariff Majini siku ya Jumamosi tarehe 24-06-2017 alifanya Dua nzito katika ukumbi wa Star Light Hotel uliopo Jijini Dar.
Dua ya Sheikh Shariff ilianza saa moja asubuhi na kumalizika saa saa saba mchana..
Mara baada ya dua Sheikh amesafiri mpaka Arusha tayari kwa kufanya Dua maalum la kumaliza mwezi mtukufu mara baada ya kuombwa sana kupitia simu ilo arudi.
Sheikh atafanya Dua kwa siku mbili mfululizo Eid Pili na Eid Tatu katika viwanja vya soko la Kilombero stendi ya vi hiace Jijini Arusha kuanzia saa nane mchana mpaka saa kumi na mbili jioni.
Sheikh Shariff Majini akifanya dua siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Star Light Hotel uliopo Jijini Dar es salaam.
Sehemu ya umati mkubwa uliohudhuria wakati Sheikh Shariff Majini akifanya dua siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Star Light Hotel uliopo Jijini Dar es salaam.
Sheikh Shariff Majini akiendelea na dua siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Star Light Hotel uliopo Jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...