Home
Unlabelled
MICHUZI TV: WAFAHAMU AGRICOM AFRICA WENYE SIFA ZA PEKEE KWENYE UUZAJI WA VIFAA NA PEMBEJEO ZA KILIMO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Vifaa hivi ni muhimu katika mapinduzi ya kilimo, However tunahitaji plani nzuri ya kufanikisha mapinduzi hayo. Kwanza suala zima la mkopo tusiliweke kwa individual farmers ONLY, badala yake halmashauri/kaya ndo ziwe mlengwa mkubwa wa kuchukua hiyo mikopo na ningeomba serikali iwatake wakope hizi pembejeo kwa LAZIMA then wakulima mmoja mmoja au vikundi watakodisha hizi pembejeo kwa ajili ya mashamba yao. Halmashauri hizo zitakuwa na wajibu wa kuwaelimisha wananchi umuhimu wa kutumia pembejeo hizo ili zoezi la kukodisha liwe kubwa.Mapinduzi ya kilimo hayatafanikiwa kwa kubembelezana.Wizara ya kilimo inabidi iwe na ubunifu wa hali ya juu kwa kutunga sharia mpya za kuwabana watu kulima kilimo cha kisasa.
ReplyDelete