Waziri Mkuu Mstaafu ,Fredrick Sumaye akizungumza na Waandishi wa habari juu ya utendaji kazi wa serikali ya awamu ya tano na kujikosoa yeye kuwa  katika utawala wake Viwanda vilikufa hivyo anashangaa kuona Rais Magufuli akiviamsha kama uyoga.
 Sehemu ya Viongozi wa kanda ya Pwani wa CHADEMA wakifuatilia mkutano huo wa Waandishi wa habari
 Sehemu ya Waandishi wa habari walioshiriki mkutano huo na Waandishi wa habari

 Katibu wa CHADEMA kanda ya Pwani Juma Mabina akizungumza katika mkutano wake na Waandishi wa habri jijini Dar es Salaam leo
Sehemu ya Waandishi wa habari walioshiriki mkutano huo na Waandishi wa habari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...