Ungana nasi killa Ijumaa kwa Maombi haya ya Kivita, katika Kupambana na Shetani ana kwa ana katika Ulimwengu wa roho.
Waefeso 6:10-18.
Familia nyingi zimefunguliwa kwa Jina la Yesu, Kupitia Maombi haya ya Mkesha wa USIKU WA VITA.Usikose Kuungana nasi katika Ufunguzi wa Maombi haya Kimataifa;
Ingia kwenye Maombi haya na Mahitaji yako, Famila yako, Yesu atakwenda kukufungua Usiku huo
Kama wewe unaishi USA na CANADA
Dial : (319)-527-9613 (NO CODE)
Time: 11:pm - 4:am (Eastern Time)
Walio nje ya USA* huwa
Kila Jumamosi Asubuhi.
Tafadhali
Dial namba Kutoka nchi uliyopo
Tanzania: Tel: 041 120 1000
*Access CODE: 172963#*
*Time: 7:00am - 11:00 am*
UK: Tel: 0330 998 1254
Access CODE: 172963#*
*Time: 5:00am - 9:00am*
Kenya:Tel: 020 7653263
Access CODE: 172963#*
Time: 7:00am - 10:00am*
S-Africa:Tel: 087 825 0143
Access CODE: 172963#*
*Time : 6:00am - 10:00am*
Italy :Tel: 051 092 0292
Access CODE: 172963#*
*Time: 6:00am - 10:00am*
Denmark :Tel: 78 73 09 22
*Access CODE: 172963#*
*Time: 6:00am - 10:00am*
Bwana Yesu akushindie VITA yako:
Pastor-Peter Igogo
Cell:+255-679 297 111
Tanzania
Bishop Boniface Rweikiza
Cell:+255-717 799 668
Tanzania
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...