TWAHA SALUM MATOLA
19/10/1987 – 19/10/2017
|
Ni miaka 30 imepita tangu ulipotuacha, kwetu tunaona ni kama jana. Tunakukumbuka sana kwa upendo wako mkubwa uliokuwa nao kwetu sisi wote, ulitusaidia wote kwa hali na mali bila kubagua. Hakika hatuwezi kusahau upendo mkubwa uliokuwa nao wa kuwajali ndugu na jamaa zako wakati wa shida na raha. Tunaendelea kukumbuka kwa upendo, ukarimu, ucheshi na malezi uliyotupa.
Unakumbukwa sana na watoto wako, ndugu na jamaa zako wote. Tunamuomba Mwenyeezi Mungu Mwingi wa Rehema, Aiweke roho yako mahala pema peponi, Akupe pepo ya firdaus.
Inna lillahi wa inna ilaihi raji’un
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...