Naibu Waziri Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza (kulia) akimsikiliza Katibu Mtendaji Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Godfrey Mngereza alipofanya ziara katika Taasisi hiyo, Oktoba 20, 2017 Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana
Shonza (katikati) akimsikiliza Katibu Mtendaji Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw.
Godfrey Mngereza (wapili kushoto) alipofanya ziara katika Taasisi hiyo na kukagua
ukumbi wa maonyesho ya sanaa Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana
Shonza (katikati) akizungumza na watendaji wa BASATA (hawapo pichani) alipofanya
ziara katika Taasisi hiyo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji Baraza la
Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Godfrey Mngereza na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Idara
ya Sanaa Bibi. Leah Kihimbi.
Naibu Waziri Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana
Shonza (katikati) akiangalia moja ya batiki zinazotengenezwa na wajasiriamali wa fani
za sanaa alipofanya ziara katika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA). Kulia ni Katibu Mtendaji Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Godfrey
Mngereza.
Naibu Waziri Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana
Shonza (katikati waliokaa) katika picha ya pamoja na watendaji wa BASATA alipofanya
ziara katika Taasisi hiyo. Kulia waliokaa ni Katibu Mtendaji
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Bw. Godfrey Mngereza.
Picha na: Genofeva Matemu - WHUSM.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...