Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
na mkewe mama Janeth Magufuli wakitembea kwenye mitaa ya Stone Town
mjini Zanzibar wakielekea katika kanisa la Mtakatifu Joseph Parokia ya
Minara Miwili kwa ajili ya ibada ya Jumapili leo Oktoba 15, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na
mkewe mama Janeth Magufuli wakipokewa na Askofu Augustine Shayo
walipowasili katika kanisa la Mtakatifu Joseph Parokia ya Minara Miwili
kwa ajili ya ibada ya Jumapili leo Oktoba 15, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na
mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwa katika kanisa la Mtakatifu Joseph
Parokia ya Minara Miwili kwa wakishiriki ibada ya Jumapili leo Oktoba
15, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na
mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwa katika kanisa la Mtakatifu Joseph
Parokia ya Minara Miwili kwa wakishiriki ibada ya Jumapili leo Oktoba
15, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiombewa na Askofu Augustine Shayo katika kanisa la Mtakatifu Joseph
Parokia ya Minara Miwili ambako alishiriki ibada ya Jumapili leo Oktoba
15, 2017.
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama Janeth Magufuli akiombewa na Askofu Augustine Shayo katika kanisa la Mtakatifu Joseph Parokia ya Minara Miwili ambako alishiriki ibada ya Jumapili leo Oktoba 15, 2017
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya kumbukumbu na Askofu Augustine Shayo na watawa vkatika
kanisa la Mtakatifu Joseph Parokia ya Minara Miwili ambako alishiriki
ibada ya Jumapili leo Oktoba 15, 2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...