Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kawe, wakishiriki maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani kwa kushiriki semina iliyoandaliwa kwa pamoja na taasisi ya Her Initiative na TAHMEF kwa ajili ya kutoa elimu hya kujitambua, ushauri wa kitaalamu na kupima afya za mabinti, semina iliyofanyika shuleni hapo, jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...