Mmoja
wa wadau akizungumza kwenye mkutano huo wa "First Silk Road NGO
Corporation Network Forum" ulioanza kufanyika leo Beijing nchini
China,ambapo Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne na Mwenyekiti wa
Taasisi ya WAMA Mhe. Mama Salma Kikwete (MB),ameshiriki
Washiriki wa mkutano "First Silk Road NGO Corporation Network Forum" wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri ndani ya ukumbi huo.
Pichani
kulia ni Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne na Mwenyekiti wa Taasisi
ya WAMA Mhe. Mama Salma Kikwete (MB), pamoja na washiriki wengine
wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa katika mkutano huo
"First Silk Road NGO Corporation Network Forum" uliofunguliwa leo mjini
Beijing nchini China.
Mke
wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mhe.
Mama Salma Kikwete (MB), akiwa katika picha ya pamoja na mshiriki mwenza
wa mkutano wa "First Silk Road NGO Corporation Network Forum"
uliofunguliwa leo mjini Beijing nchini China.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...