Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi wa Tanzania, Mhandisi Hamad
Masauni, akizungumza katika mkutano na wakimbizi wa Burundi wanaoishi kambi
ya Nyarugusu, iliyoko wilayani Kasulu, mkoani Kigoma. Katika ziara hiyo
iliyokuwa pia na ujumbe kutoka Serikali ya Burundi, ukiongozwa na Waziri wa
Mambo ya Ndani na Mafunzo ya Uzalendo, Pascal Barandagiye, lengo ikiwa
kukagua zoezi la urejeshaji wakimbizi hao makwao linavyoendelea.
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kanali Marco Gaguti, akizungumza
katika mkutano na wakimbizi wa Burundi wanaoishi kambi ya Nyarugusu, iliyoko
wilayani Kasulu, mkoani Kigoma. Katika ziara hiyo iliyokuwa pia na ujumbe
kutoka Serikali ya Burundi, ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Ndani na
Mafunzo ya Uzalendo, Pascal Barandagiye, lengo ikiwa kukagua zoezi la
urejeshaji wakimbizi hao makwao linavyoendelea.
Mkimbizi wa Burundi anayeishi kambi ya Nyarugusu, iliyoko wilayani Kasulu,
mkoani Kigoma Paul Ndalaizye., akitoa maoni kwa niaba ya wakimbizi wanaoishi
katika kambi hiyo wakati wa Mkutano uliohutubiwa na Naibu Waziri wa Mambo
ya Ndani ya nchi, Mhandisi Hamad Masauni na Waziri wa Mambo ya Ndani na
Mafunzo ya Uzalendo, Pascal Barandagiye (hawapo pichani), lengo ikiwa kukagua
zoezi la urejeshaji wakimbizi hao makwao linavyoendelea.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhandisi Hamad Masauni na Waziri
wa Mambo ya Ndani na Mafunzo ya Uzalendo nchini Burundi, Pascal Barandagiye
(kulia), wakipiga ngoma baada ya kuwasili katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu,
iliyoko Wilayani Kasulu,mkoani Kigoma.
Wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi ya Nyarugusu, wilayani Kasulu,
mkoani Kigoma wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,
Mhandisi Hamad Masauni (hayupo pichani) katika mkutano na wakimbizi hao,
Katika ziara hiyo iliyokuwa pia na ujumbe kutoka Serikali ya Burundi,
ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Ndani na Mafunzo ya Uzalendo, Pascal
Barandagiye, lengo ikiwa kukagua zoezi la urejeshaji wakimbizi hao makwao
linavyoendelea.
BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI
BOFYA HAPA KWA HABARI ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...