Mgeni
Rasmi Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji, Mh. Charles Mwijage
akihutubia
waalikwa mbalimbali kuhusu fursa zinazopatikana katika uwekezaji. (OBOR
Initiative) katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Stanchart
bank jana,
Sanjay
Rughani akizungumza na wageni waalikwa katika hafla fupi ya chakula cha jioni
ambayo Standard Chartered Bank iliwaandalia wateja wake ambao ni wenyeji kutoka
China.
Bw.
Sun Chengfeng, Mkuu wa kitengo cha uchumi na biashara ambaye ni mwakilishi wa
China nchini Tanzania akizungumza na waalikwa katika hafla ya chakula cha jioni
iliyofanyika katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam
Mgeni
rasmi Mh. Charles Mwijage Waziri wa viwanda,biashara na uwekezaji
akibadilishana mawazo na Bw, Chengfeng , Mkuu wa kitengo cha uchumi na biashara
ambaye ni mwakilishi wa China nchini Tanzania katika hafla ya chakula cha jioni
iliyoandaliwa na standard charterd bank
Wakifuatilia
kwa makini hotuba ya mgeni rasmi,Bw Sanjay Rughani, Bw.Sun Chengfeng na
wawakilishi mbalimbali katika kitengo cha uchumi na biashara wanaoiwakilisha China
nchini Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...