Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza
jambo wakati wa mkutano na baadhi ya Watendaji wa Serikali alipofanya
ziara Wilayani Arumeru kujionea Vituo vya Hali ya Hewa vinavyoratibiwa
na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa Kuimarisha Taarifa za Hali ya
Hewa na Mfumo wa Tahadhari Novemba 21, 2017.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza
jambo wakati wa mkutano na baadhi ya Watendaji wa Serikali alipofanya
ziara Wilayani Arumeru kujionea Vituo vya Hali ya Hewa vinavyoratibiwa
na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa Kuimarisha Taarifa za Hali ya
Hewa na Mfumo wa Tahadhari Novemba 21, 2017.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu
wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiwa katika ziara na Baadhi ya
Watendaji wa Serikali walioongozana naye kutembelea Vituo vya Hali ya
Hewa vilivyofungwa na Mradi waKuimarisha Taarifa za Hali ya Hewa na Mfumo wa Tahadhari Arumeru.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu
wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akimsikiliza Mwikolojia Bi.Clara
Manase alipokuwa akieleza faida ya kituo cha Utoaji wa Taarifa za Hali ya Hewa kilichojengwa katika Hifadhi ya Taifa ya Arusha mkoani Arusha.(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...