Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe na viongozi
wengine wakishiriki kujaza zege kwenye ndoo kwaajili ya kumwaga kwenye
jamvi la matundu ya vyoo.
Mkurugenzi Mtendaji Bw. William Makufwe akishiriki
kujaza zege kwa ajili ya kumwaga kwenye jamvi la matundu ya vyoo na
viongozi wengine.
Mkuu wa Wilaya na Viongozi wengine wakikagua moja ya darasa Shule ya Sekondari Kiva.
fundi mkuu wa ujenzi wa madarasa na vyoo akitoa maelezo kwa viongozi juu ya ujenzi wa matundu ya vyoo
Baadhi ya wafanyakazi wakiendelea kushiriki ujenzi wa matundu ya vyoo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...