Afisa Habari katika Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) ,Florian Mutabazi akipokea Cheti chake kutoka kwa Waziri wa Elimu wa Malawi,Bright Msaka baada ya kuhitimu Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara(MBA) Chuo Kikuu cha Eastern and Southern African Management Institute(ESAMI) kilichopo jijini Arusha katika mahafali yaliyofanyika chuoni hapo,wahitimu wametoka nchi 32 barani Afrika.Picha na Filbert Rweyemamu 
Afisa Habari katika Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC),Florian Mutabazi akiwa mwenye furaha baada ya baada ya kuhitimu Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara(MBA) 
Mdau wa blog za kijamii ,Yotham Ndembeka ambaye ni mtumishi katika Ofisi ya Katibu Tawala mkoa wa Arusha akipongezwa na Mkurugenzi wa Chuo Kikuu cha Eastern and Southern African Management Institute(ESAMI)kilichopo jijini Arusha,Profesa Bonard Mwape baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara(MBA). 
Afisa Habari katika Sekretariati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC),Florian Mutabazi(kushoto) akifurahia pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa EAC anayeshughulikia Utawala na Fedha,Jesca Eriyo. 
Picha ya pamoja ya uongozi wa taasisi ya ESAMI. 
Mtumishi Mwandamizi katika Ofisi ya Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Grace Mbaruku(kulia) akifurahia baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara(MBA). 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...