Waziri wa Nishati  Dkt.Medard Kalemani akagua mitambo ya kuzalisha Umeme ya kituo cha Umeme KIDATU, sambamba na ukaguzi huo Dkt.Kalemani alipokea taarifa ya hali ya mitambo ya uzalishaji umeme pamoja na kukagua maendeleo ya ukarabati wa Mtambo namba 1, ulioanza kufanyiwa ukarabati  tarehe 19 Oktoba 2017 na kampuni ya Koncar yenye makao yake nchini Croatia.
Waziri wa Nishati  Dkt.Medard Kalemani akikagua mitambo ya kuzalisha Umeme ya kituo cha Umeme KIDATU, sambamba na ukaguzi huo Dkt.Kalemani alipokea taarifa ya hali ya mitambo ya uzalishaji umeme pamoja na kukagua maendeleo ya ukarabati wa Mtambo namba 1, ulioanza kufanyiwa ukarabati  tarehe 19 Oktoba 2017 na kampuni ya Koncar yenye makao yake nchini Croatia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...