Diwani wa Chadema wa Kata Donyomurwak, Wilaya ya Siha Mkoa wa Kilimanjaro, Ndg. Lwite Ndossi almaarufu “Nsonuu”, leo tarehe 19 Disemba 2017 amejivua uanachama wa Chadema, na amejiuzuru Udiwani wa Kata hiyo na ametangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Ndugu Ndossi ameeleza sababu za kujiunga kwake na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa ni kujiunga na watu wanaofanya siasa za kufanya kazi za maendeleo na si kulumbana na maneno matupu.

Imetolewa na,

IDARA YA ITIKADI NA UENEZI

CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...