Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala akizungumza wakati wa kikao cha pamoja na watangulizi wake kilichofanyika jijini Dar es salaam.
 Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa kwanza wa kike wa Idara ya Uhamiaji Bi. Judith Mtawali akimtia moyo na kumpongeza Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Makakala wakati wa kikao hicho.
 Kamishna wa Uhamiaji Mstaafu Piniel Mgonja akichangia jambo katika kikao cha pamoja baina ya Viongozi Waandamizi wastaafu wa Idara ya Uhamiaji na Viongozi Waandamizi waliopo madarakani.
  Mkurugenzi Mkuu Mstaafu  wa Uhamiaji Zanzibar Masauni Masauni akichangia hoja wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu wa kazi
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Uhamiaji Kinemo Kihomano akiongea wakati wa kikao cha kubadilishana uzoefu wa kazi baina ya Viongozi Waandamizi wastaafu wa Idara ya Uhamiaji na Viongozi Waandamizi wa Idara waliopo madarakani.
Picha ya pamoja ya Viongozi waandamizi wa  Idara ya Uhamiaji waliopo madarakani na Viongozi Waandamizi wastaafu wa Idara hiyo, wakati waliposhiriki katika kikao cha kubadilishana mawazo na uzoefu kilichoitishwa na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt.  Anna Makakala.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...