Mbunge wa Bunge la Tanzania ambaye ni Mke wa Rais mstaafu, Jakaya Kikwete, Mama Salma Kikikwete akikagua timu ya Bunge la Tanzania iliyocheza na timu ya Bunge la Afrika Mashariki katika mashindano ya mabunge ya nchi za Afrika Mashariki kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Mama Salma alihimiza mashindano hayo kuwa kielelezo cha kudumisha udugu na ushirikiano wa nchi za jumuiya hiyo.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mama Salma akikagua kikosi cha Bunge la Afrika Mashariki
Kikosi cha timu ya Bunge la Tanzania
Kikosi cha timu ya Bunge la Afrika Mashariki
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...