Mbunge wa Bunge la Tanzania ambaye ni Mke wa Rais mstaafu, Jakaya Kikwete, Mama Salma Kikikwete akikagua timu ya Bunge la Tanzania iliyocheza na timu ya Bunge la Afrika Mashariki katika mashindano ya mabunge ya nchi za Afrika Mashariki kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Mama Salma alihimiza mashindano hayo kuwa kielelezo cha kudumisha udugu na ushirikiano wa nchi za jumuiya hiyo. 
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
 Mama Salma akikagua kikosi cha Bunge la Afrika Mashariki
 Kikosi cha timu ya Bunge la Tanzania
Kikosi cha timu ya Bunge la Afrika Mashariki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...